Mahubiri

Mufuliiru anajitahidi kutafuta Mungu kwa kusoma na kusikiliza Neno lake. Anaamini Mungu na kwamba Yesu Kristu ndie Mwana wake.

Wakati mufuliiru anaposikia mahubiri ya Neno la Mungu katika luga yake, mahubiri hayo yanamujenga zaidi, na kugundua mapenzi ya Mungu.

Hapa tunapenda kukuonja kidogo mahubiri ya mchungaji mmoja wa 8ème CEPAC Rév. MBIRIZE MASUMBUKO, ambae ni kiongozi wa ofisi ya kutafsiri Neno la Mungu katika luga ya kifuliiru.

Thumbnail image
Share