Kamati ya Luga

Ofisi ya kutafsiri Biblia kwa luga ya kifuliiru inaongozwa na kamati. Kamati hiyo inaundwa na viongozi wa makanisa ya eneo za Wafuliiru.  

Mwenyekiti wa kamati ya luga ya kifuliiru: Mchungaji Kavuye Nd. Amos.

Share