Ofisi ya kutafsiri Biblia kwa luga ya kifuliiru inaongozwa na kamati. Kamati hiyo inaundwa na viongozi wa makanisa ya eneo za Wafuliiru.
Mwenyekiti wa kamati ya luga ya kifuliiru: Mchungaji Kavuye Nd. Amos.
Unaweza kuwasiliana nasi kwa tutumia ujumbe kwa njia ya fomu iliopo hapa chini. Huitaji kutaja jina lako au anwani ya barua pepe, isipokuwa una swali linalo hitaji jibu.