Ofisi ya kutafsiri Biblia kwa luga ya kifuliiru inaongozwa na kamati. Kamati hiyo inaundwa na viongozi wa makanisa ya eneo za Wafuliiru. Mwenyekiti wa kamati ya luga ya kifuliiru: Mchungaji Kavuye Nd. Amos. Tafazali tuandikie maoni au maswali yako.