Mizali na maneno ya hekima ya kifuliiru

Hakika luga ya kifuliiru ni ya ajabu.

Katika mazungumuzo, luga ya Kifuliru inatumia mitindo tofauti, na asiyejua luga vizuri anaweza kusikiliza na kuangalia pasipo kuelewa neno.

Kifuliru inamaneno ya hekima ambayo yanatumiwa kwa mizali ao kwa kutumia maneno kwa njia nyingine. Ndio maana tulipenda kukuonja kidogo ya maneno hayo katika vitabu hivi, "imigani yitu" na "Ubulenga bwa'magambo ge'kifuliiru".

Ndani ya vitabu hivyo kunakuwa na hekima kuu ambayo babu zetu walitumia katika mazungumuzo yao. Wakati utakaposoma utagundua utajiri wa luga na kutambua kwamba umeongeza kitu fulani ndani yako. Kwa sababu katika kujua luga kuna mambo mengi. Kuna uwezekano wa kusema maneno kwa kupitapembeni na kuzungumuza vizuri kwa utaratibu...

Rev. Mbirize en enquete.jpg

Téléchargements: 

Share